Thursday, August 18, 2011

MSEMAJI WA KAMBI YA UPINZANI BUNGENI MHE.FREEMAN MBOWE AMSIKILIZA KWA MAKINI WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII

 Mheshimiwa Freeman Mbowe akimsikiliza kwa makini Waziri wa maliasili na Utalii Mhe.Ezekiel Maige wakati akihitimisha Bajeti yake jioni hii leo Bungeni mjini Dodoma.
Mhe.Maige akisisitiza kuwa yote yaliyochangiwa na wabunge katika kuboresha na kurekebisha mapungufu yaliyojitokeza katika wizara yake atayafanyia kazi mara baada ya bajeti yake kupita.

No comments:

Post a Comment