Thursday, August 18, 2011

SERIKALI IMEPIGA MARUFUKU USAFIRISHAJI WA WANYAMA HAI KWENDWA NJE YA NCHI

 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Mizengo Pinda leo ameliambia Bunge Mjini Dodoma kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Mhe. Pinda kuwa Srikali imesitisha usafirishaji wa wanyama hai kwenda nje ya nchi.Serikali imegundua kuwa taifa linapata hasara kubwa kwa wajanja wachache wenye tabia ya kutorosha wanyama,bila ridhaa ya serikali.
Hilo ndilo Bunge,wakati Waziri,au mtoa hoja akiwa anatoa hoja yake,utakuta wabunge nao wnateta jambo wakati bunge linaendelea,hivi hawa wabunge ambao Waziri anawakilisha bajeti yake au Mbunge anatoa hoja yake wao wanazungumza vivyo Sipika wao ni yupi?,hivyo kinacho wakilishwa wanakielewa kweli? ingekuwa Sipika wa Bunge angekuwa anawauliza wabunge hao nini kilicho wakilishwa wangeweza kujibu kweli?

No comments:

Post a Comment