Wednesday, August 17, 2011

Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro haiwatendei hakiwafugaji

Mbunge wa Ngorongoro Mhe. Ole Telele aliimbia Jambo kipindi kinachorushwa na TBC  leo kuwa,Mbuga ya Ngorongoro ndiyo mbuga pekee duniani ambayo kunahifadhi na binadamu ( wafugaji ) naoishi katika Hifadhi hiyo.

Mhe.Telele alisema Serikali kupitia Mamlaka ya hifadhi hiyo haiwatendei haki wafugaji wanaishi katika mamlaka hiyo kutokana na kupewa fedha kidogo ukilinganisha na mabilioni ya fedha yanayo kusanywa.Kwa mtindo huo wananchi wanaoishi katika hifadhi hiyo hawanufaiki na mifadhi husika.

No comments:

Post a Comment