Wednesday, August 17, 2011

kawaida ya binadamu pale mwenzake anapofanya vizuri kumsifia ni muhimu,Hivi TANROAD wa Mkoa wa Iringa nitofauti na wengine?


 Hongereni Wizara ya Miundombinu hivyo Mikoa yote ingeweza kufikia kiwango cha barabara kama hiyo ya kuingia mjini Iringa situngejisifia sana!.Hivyo TANROAD wa Iringa ni tofauti na TANROAD wa Mikoa mingine?
 Hiyo ndiyo kazi za watengeneza barabara kwa viwango hata usiyekwenda shule utagundua kazi nzuri iliyofanywa.
Watu wanapofanya kazi nzuri tuwasifie na wengine tuige ,maana wa - tanzania tunatabia ya kusifia sifia vya wenzetu lakini vyetu hatuvioni kuwa ni vyema.

No comments:

Post a Comment