Friday, August 19, 2011

BREAKING NEWS !11!!! RAIS KIKWETE KUTOA TUZO KWA WATAALAMU WA MADAWA YA MARELIA

 Rais Kikwete alisema kuwa matumizi ya dawa ya mseto na  vyandarua yamesaidia kupunguza vifo vinavyo tokana na marelia.Alisema hayo alipokuwa akiongea na wataalamu wa afya hivi karibuni Jijini Dar es salaam.
wageni waliyokuwa kwenye sherehe hiyo.
 Picha ya pamoja ya Rais Jakaya Kikwete na wataalamu hao waliyo shika zawadi zao ( Tunzo )
 Kiongozi wa wataalamu hao akiongea baada ya Rais kuzungumza
 Rais anamkabidhi tunzo mmoja wa wataalam hao
Baadhi yao wakibadilishana mawazo wakati  wa sherehe hiyo ambayo TBC Taifa ikifanya kazi ya kurusha shughuli nzima za sherehe hiyo muhimu kwa Taifa.

No comments:

Post a Comment