Monday, August 22, 2011

JUMATATU HII NILIKWENDA KUTEMBELEA HOTEL YA OK HAULE KATIKA MANISPAA YA SONGEA

 Bwana Ok Haule ndiye mkurugenzi wa Hotel hiyo  maarufu sana,katika Manispaa ya Songea ni kwa sababu ipo karibu na soko kuu la Songea,unapata mazali na chakula .Amesimama kwenye mlango aliyoufanyia ukarabati  ili hotel  ilingane na hadhi na mahitaji ya soko.
Huyu ni fundi wake wa kuandaa na kuiweka sawa miundo mbinu ya hitel hiyo iliyoko karibu na kanisa la KKT mjini hapa.

No comments:

Post a Comment