Tuesday, August 16, 2011

SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA LINA JENGA NYUMBA KWA KILA MWANANCHI ANAYE HITAJI NYUMBA

Mkurugenzi mkuu wa shirika la nyuma la Taifa Nehemiah Mchechu alisema shirika lake linajenga nyumba ambazo kila mtanzania mwenye mahitaji ya nyumba ataweza kupanga au kununua,bila ya kujali kipato cha mtu ili aweze kutimiza masharti ya ununuzi ama upangaji wa nyumba hizo.

Alisema hayo leo kwenye kipindi cha kutoka Dodoma kinacho rushwa na TBC asubuhi.

No comments:

Post a Comment