Thursday, August 18, 2011

MATUKIO !!! MIZANI ISIRUHUSU MAGARI YALIYOBEBA MIZIGO MIZITO - KIWETE

 Rais Kikwete alisema kuwa mizani isiawaonee aibu wenye kuzidisha uzito kwenye magari yao makubwa,maana magari yenye mizigo mikubwa uhatarisha usalama wa barabara.Aidha kwenye mizani kuna vitendo vinavyo ashiria rushwa ,mwenye dereva humtuma tan boy kwennda kusafifha njia kwa kutoa kitu kidogo,kitu kidogo,ni aibu kwa taifa letu,Alisema nchi nyingi zinapitisha mzigo yao kwenye barabara zeto.alisema hayo kwenye uzinduzi wa barabara lami kutoka Usagara mwanza kuelekea GEITA.
 Rais Kikwete alikuwa akizindua barabara hiyo hivi karibuni Jijini Mwanza
Barabara kiwango cha lami toka Usagara hadi Geita.

No comments:

Post a Comment