Saturday, August 13, 2011

SALIM AHAMED SALIM CHUO KIKUU CHA KUMBU KUMBU YA MWALIMU JULIUS NYERERE DAR ES SALAAM

 Dkt Salim Mohamed Salimu kiongea na wanachuo wa chuo kikuu cha kumbu kumbu ya Mwalimu Julius Nyerere kwenye mdahalo ulifanyika katika chuo hicho zamani kilikuwa chuo cha uongozi wa CCM Kigamboni.
 Hicho ni chuo kikuu cha kumbu kumbu cha Mwalimu Nyerere
 Dkt Salimu Mohamed Salimu
 Baadhi ya wanachuo wa chuo hicho
i
 Dkt Salimu mohamed Salimu akisisitiza jambo
Baadhi ya wau wa chuo hicho cha kumbu kumbu cha Mwalimu Nyerere Dar es salaam



Mazimisho ya chuo Kikuu cha Mwalimu Julius Nyerere kuwa mwezi Novemba mwaka huu.

MWEINYEKITI wa Bodi wa Chuo Kikuu cha Mwalimu Julius Nyerere Mohamed Ahamed Salimu,alisema chama cha upinzani si kuwa wagomvi ama uhasama na vyama vingine.

Alisema miaka 50 ya kumbukumbu ya chuo hicho,ni faraja kwa viongozi ambao walipitia katika chuo hicho,alisema awali chuo hicho kilitwa Kivukoni,kilifundisha viongozi maadili na nidhamu wakiwa kazini.

Aidha alisema vijana sasa wanataka kushika uongozi,lakini wakumbuke kwenye uongozi lazima kuwe na wazee na vijana pia,mfano yeye alikuwa balozo wa Misri akiwa mdogo wa miaka 22.

Alisema vijana ni wazee wa baadaye,hakuna anayebakia kijana moja kwa moja,lazima atakuwa mzee siku moja.alisema hayo alipotembelea chuo hicho kwenye mdahalo uliyofanyika,Waziri Mkuu msataafu Joseph Sinde Warioba alikuwepo katika mdahalo huo

No comments:

Post a Comment