Monday, August 1, 2011

BLOGGER YASINTA NGONYANI NA MMEWE BWANA TOSBJOIN KLAESSON NA MTOTO WAO ERIK KLAESSON KUTOKA SWIDEN WATMBELE OFISI ZA TUJIFUNZE KUSINI

 Kuja kwake nyumbani Tanzania Blogger Yasinta Ngonyani na Mr wake Klaesson Mkoani Ruvuma kumempatia fursa ya kutembelea ofisi za Blog ya TUJIFUNZE KUSINI kuziona,ni ugeni mkubwa kwa TUJIFUNZE kutembelewa na Blogger wa nchi za nje,tuna sema karibu tena katika ofisi zetu.Hapa nia Mr ana Mrs Tosbjooin katika ofisi ya TUJIFUNZE Jana.
 Hapa ni kijana wao Erik Klaesson akisaini kitabu cha wageni katika ofisi ya TUJIFUNZE KUSINI jana katika Manispaa ya Songea Matarawe.
 Mr Klaesson akiwa katika ofisi ya Mhariri msaidizi wa TUJIFUNZE KUSINI Bwana Juma Nyumayo hapa jana.
 Bw.Juma Nyumayo akimwonyesha picha ya zamani ya Bw.Sikapundwa aliyopiga mwaka 1990 katika Manispaa ya Moshi,Blogger yasinta Ngonyani klaesson katika chumba cha habari news room jana.
 Erik ni mtaalamu pia wa kupiga picha,hapo alikuwa akipiga matukio katika chumba cha habari sabasaba Matarawe hapo jana.
 Bw.Nyumayo anawaeleza namna mashine za TUJIFUNZE zinavyofanya kazi
 Hapa wanaonyeshwa mashine ya kukata karatasi Polar
 Hatimaye wakiwa chumba cha Computer.Wageni wetu wanaishi nchini Swiden wapo Mkoani Ruvuma kwa mapumziko,kesho kutwa wanatarajia kurudi nyumbani kwao Swiden,tunawatakia safari njema.

1 comment: