Monday, August 22, 2011

KATIKA PITA PITA YANGU LEO NIKAKUTANA NA MKURUGENZI WA MAZINGIRA AKIHOJIWA NA MWANDISHI WA HABARI ( PST )

Mkurugenzi wa Mazingira Bwana Metodi Ngerangera mwenye koti nyeusi na mwandishi wa habari wa magazeti ya Nipashe Bwana Gedion Mwakanosywa mwenye miwani,wakiwa nje ya hotel ya Ok.
Bwana Ngerengera amehamasisha shule 18 kupanda miti,mbali mbali katika kuhifadhi mazingira ya shule hizo,Anasema wakati mwingine anatumia fedha zake mwenyewe katika kuboresha mazingira ya shule,zaidi nitakuletea shughuli nyingine anazozifanya tofauti na utunzaji wa mazingira.

No comments:

Post a Comment