Friday, August 19, 2011

BREAKING NEWS ! ! KASHESHE LA UKOSEFU WA UMEME JIJINI MWANZA SIKU NNE LAZUSHA BALAA KWA WATUMIAJI

 Jiji la Mwanza ama Rock City limekosa umeme kwa siku nne mfulululizo na lisabibishia Jiji hilo hasara kubwa kwa watumiaji wa umeme katika shughuli za uzalishaji mali.Mtumiaji huyo ambaye jina lake halikuweza kupatikana nasema kuwa kumekuwa na shida ya usagaji wa nafaka,hivyo watu wanahangaika kupata unga.
 Bibi huyo naye anasema maji yamekuwa shida baada ya mashine za kusukuma maji kushindwa kufanya kazi kwa ukosefu wa umeme,hivyo akina mama imewalazimu kutembea umbali mrefu kutafuta maji kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 12 jioni kuisaka ndoo moja ya maji.
Ukizingatia jiji hilo ni la viwanda imekuwa ni hasara kubwa iliyopatikana kwa siku hizo nne,Huduma za matibabu ya upasuaji nayo imekuwa shinda.Ni kweli Sipika wa Bunge alikuwa sahihi kuitaka serikali itoe ufafanuzi wa sakata hilo la umeme Mwanza na Arusha,

No comments:

Post a Comment