Tuesday, August 16, 2011

SHIRIKA LA NYUMBA LINAWEZA KUTENGEZA AJIRA KWA WAKAZI WA DAR ES SALAAM

Mheshimiwa John  Momose Cheyo aliema kuwa shirika la nyumba la Taifa linaweza kutengeneza ajira kwa vijana wa Jijini Dar es salaam iwapo itapata ardhi kubwa nje ya jiji na kuanza kujenga nyumba zinazo weza kununuliwa kwa kila mtanzania kutokana na vipato vyao.

Alisema hiyo itawezekana iwapo serikali itaondoa VAT kwenye vifaa vya ujenzi,alisema kuwa si wakati wa watanzania kugawana umasikini,ila ni wakati wa kugawana utajiri kama shirika litajenga nyumba kulingana na soko.Alisema hayo kwenye kupindi cha leo toka Dodoma kinacho rushwa na TBC.

No comments:

Post a Comment