Saturday, August 20, 2011

HII NDIYO STENDI YA MANISPAA YA SONGEA LEO NA SAFARI ZA VIJIJINI NA HOSPITALI YA PERAMIHO MKOANI RUVUMA

 Ni mabasi madogo yaendayo Makamboko ya Super Feo ambayo huondoka hapa mchana nakuingia Makambako jioni.
Hayo ni mabasi madogo ambayo yanafanya safari za kwenda Peramiho na kurudi mjini Songea kila wakati,Peramiho kwenye hospitali ya Wamisionari wagonjwa huenda kupata matibabu na wengine wanakwenda kuona ndugu zao  waliyolazwa katika hospitali hiyo.

No comments:

Post a Comment