Tuesday, August 2, 2011

MJI WA SONGEA LEO UNAVYO ONEKANA

 Ni mtaa mmojawapo katika Manispaa hii ya Songea ambayo jana imempoteza Meya wake aliyefariki hospitali ya Peramiho na kuzikwa Lizaboni nyumbani kwake.
Hivi ndivyo wakazi wa mji huu walivyokuwa wakihangaika katika ujenzi wa Taifa kila mmoja jinsi alivyojipanga toka asubuhi hadi blog hii ilipomkuta.

No comments:

Post a Comment