Wednesday, August 3, 2011

BLOG YA TUJIFUNZE KUSINI INAWATAKIA WAISLAM WOTE DUNIANI MFUKUNGO WA MWEZI MTUKUFU KATIKA KUTENDA MEMA

Wafanya biashara wasiutumie mwezi huu vibaya kwa  kupandisha bei bidhaa muhimu kwa ajili ya daku na kufuturu,kwa waliofunga.ni mwezi wa kutenda mema,kutenda mema ni kuacha mabaya na kufanya matendo yanayo mpendeza Mungu.Kuna baadhi ya wafanya biashara hutumia mwezi wa mfungo kama ni mwezi wa kuchuma,wasifanye hivyo kwa nini bei zisibakie zilezile za juzi kabla ya mfungo?

No comments:

Post a Comment