Monday, August 22, 2011

WANAOWANIA KITI CHA UMEYA KATIKA MANISPAA YA SONGEA WAMEJITOKEZA

Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea,baadhi yao wamejitokeza kuwania nafasi ya Umeya iliyowachwa wazi na Marehemu Ally Manya aliyefariki hivi karibuni.Kati yao kuna wanawake wawili wamejitosa katika kinyang'anyiro hicho.

No comments:

Post a Comment