Tuesday, August 2, 2011

SHEHENA KUBWA YA MAHARAGE IMEKUSANYWA NA WAUZA NAFAKA SODECO MAINISPAA YA SONGEA HUSAFIRISHA NJE YA MKOA

Hayo ni magunia ya maharage ambayo yamepangwa hapo yakingojea kusafirishwa kwenye nje ya mkoa huu wa Ruvuma.wafanya biashara wanafuatia mazao haya ya mahindi na maharage vijijini kwa wakulima.wakiyafikisha katika soko hili wanauza kilo moja ya mahindi ni shilingi 300/= maharage shilingi 850/=.

Wakati kilo moja ya maharage katika soko kuu la songea ni shilingi 1000/=,wanaokoboa na kusaga unga wa mahindi wana jaza kwenye mifuko ya kilo 30 na kusafirisha mkoa wa Lindi kuuza.


No comments:

Post a Comment