Tuesday, July 26, 2011

SIKU YA MASHUJAA KITAIFA IMEFANYIKA MKOANI MTWARA NA MGENI RASMI NI RAIS JAKAYA KIKWETE NA KUTEMBELEA CHUO CHA VETA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete jana alikuwa mgeni rasmi katika siku ya mashujaa mkoani Mtwara na leo,ametembela chuo cha VETA na kituo cha kilimo cha Naliendele mkoani humo na kuzungumza na wananchi.
Mwananchuo wa VETA mkoani Mtwara anaiomba serikali iwaajiri vijana wanao maliza katika vyuo vya VETA nchini.

No comments:

Post a Comment