Wednesday, July 6, 2011

BREAKING NEWS SUDAN KUSIN KUWA JAMHURI MPYA JULAI 9 2011

 Sudan ofisi za serikali
 Raman ya Sudan na Picha ya Rais wa nchi hiyo Omar al - bashir na Ramani Sudan Kusini
 Mji wa Sudan Kusini ulivyo chukuliwa kwa juu
Sudan kusini inakabiliwa na changamoto lukuki zikiwemo, uhaba wa maji wanachi wananunua maji yanayopelekwa kwenye matanki,umeme siyo wa uhakika,huduma ya afya si wa kuridhisha.
 Mji wa Juba nchini Sudan Kusini

Daraja katika mto Nile na Noel Mwakalindile TBC alivyo tembelea Mji wa Juba nchini Sudan hivi karibuni katika mchakato wa upigaji wa kura za maoni na kuhoji wananchi kuhusu kujitenga na Sudan ya Bashir.

Ambapo asilimia 98 ya wananchi wamechagua kujitenga ,Takribani wananchi milioni 4 sehemu mbalimbali nchini humo katika nchi 8 za nje.na askari 60 elfu walihusika na ulinzi na usalama katika uchaguzi huo,ambapo waangalizi  zaidi ya 10 elfu wan chi hiyo na wakimataifa 1,500 walikuwa waangalizi wa upigaji kura za maoni nchini humo.
Sudan  Kusini itakuwa Jamhuri mpya tarehe 9 Julai 2011 na hatimaye kujiunga na Jumuiya ya nchi za Afrika Mashariki. ( Source Urary 95 )

No comments:

Post a Comment