Saturday, July 9, 2011

JUMA MOSI YA LEO NA HARAKATI ZA WANANCHI WA SONGEA MANISPAA

 Mji wa Songea Mkoani Ruvuma kama unavyo onekana katika picha Jumamosi ya leo na harakati za kujenga taifa kila mmoja kwa stahili yake mradi anahudumia familia yake.
 Manispaa ya Songea leo
Ilikuwa ni mida ya mchana ambapo Blog hii ilipoipata picha ya Manispaa hii ya Songea wakati Manispaa hiyo imaeamua kufukuza akina mama ntilie waliekuwa wakiuza chai na vyakula katika Stendi kuu ya Manispaa ya songea na kuiacha stendi na abiria na magari.

No comments:

Post a Comment