Wednesday, July 6, 2011

Barabara nyembamba katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea unasababisha foleni ya magari na pikipiki masipo sababu.

 Huo ndiyo msongamano au Foleni ya magari unaosababishwa na barabara nyembamba katika halmashauri ya Manispaa ya Songea.
Ni eneo la Manzese Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma barabara itokayo Mji Mwema kuelekea Mjini Songea.

No comments:

Post a Comment