Tuesday, July 26, 2011

WAKATI MKOA WA DODOMA NA BAADHI YAKE NCHINI INA UHABA WA CHAKULA,MKOA WA RUVUMA MAHINDI YA MWAKA JANA NA YA MWAKA HUU YANA KUTANA GHALANI

Waziri wa kilimo na chakula  Profesa Jumanne Maghembe akiwakilisha bajeti ya wizara hiyo,amakumbana na changamoto lukuki kutoka kwa waheshimiwa wabunge ,wakitetea wakulima jinsi wanavyo pata shida katika kuyauza mazao yao kwa kukosa soko la uhakika yakiwemo,Mahindi,pamba,tumbaku,kahawa,chai,ndisi,tangawizi,Na mengine mengi.
Aidha ukosefu wa chakula cha kutosha katika mikoa ya Dodoma na mingine nchini,wakati mkoa wa Ruvuma mahindi yamerundikana ya mwaka jana na mwaka huu ambayo yanasafirishwa nje ya mkoa huo kila kukicha.

No comments:

Post a Comment