Saturday, July 9, 2011

IBADA YA KUMKUMBUKA MAREHEMU CHIHOMO SOKONI NYUMBANI KWAKE NA PADRE JOHN MAPUNDA WA KANISA LA MT.NICOLAU ANGLICANA SONGEA MJINI LEO

 Padre John Mapunda wa kanisa la Aglican la Mtakatifu Nicolau Songea Mjini akisoma misa ya kumkumbuka marehemu Chihomo Sokoni aliye fariki Ijumaa kuu tarehe 22/4/2011 na kuzikwa tarehe 23/4/2011 siku ya mkesha wa Pasaka.
 Padre Mapunda akiongoza ibada ya kumkumbuka marehemu Chihomo Sokoni
 Mke wa marehemu Chihomo Sokoni Bibi Tarsisia Milinga wa katikati amepiga magoti tayari kwa kula mkate na divai.
 Bibi Tarsisia amesha pewa mkate na divai na Padre John Mapunda
 Picha ya Bibi Tarsisia Milinga ya kumkumbuka mpendwa mme wake kwenye fremu nyumbani kwao.
 Picha ya pamoja ya familia ya Bibi Tarsisia Milinga  mara baada ya ibada ya kumkumbuka marehemu mkwe wao Sokoni nyumbani kwa marehemu leo.
 Mtoto wa nne wa marehemu Chihomo Sokoni Sunday Sokoni kidato cha sita Jijini Dar es salaam alifika kwenye arobaini ya Baba yao mpendwa. mjini Songea leo.
 Kwaya iliimba nyimbo za maombolezo,na za tenzi za Rohoni na za kutukuza Mungu wakati wa Ibada hiyo
 Sifa na utukufu ilikuwa ndiyo neno la kutiliwa mkazo kuwa Mungu amewapenda wanadamu na kuwalete mkombozi Yesu Kristu na amuaminiae ataokoka,na kila anayeomba kwa jina lake atapewa.
Picha ya pamoja ya Mama wa marehemu  Sofia Kayanja na mke wa marehemu Tarsisia Milinga. mwenye nguo nyeupe.

No comments:

Post a Comment