Tuesday, July 19, 2011

Bajeti ya Wizara ya Elimu na mafunzo ya Ufundi kuanza leo,malengo kadhaa kutajwa.

Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Mke.Dkt Shukuru kawambwa katika mhtasari wake wa bajeti ya wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi umeelezea utekelezaji wa malengo ya sekta ya elimu mwaka 2010 na 2011 na malengo ya mwaka 2011 na 2012.
Baadhi ya malengo aliyoyataja ni pamoja na Halmashauri 16 nchini zimetoa chakula cha mchana katika shule za msingi,kutoa mafunzo kwa walimu wa masomo ya sayansi na TEHAM,hesabati.
katika elimu ya watu wazima na nje ya mfumo rasmi imeweza kusambaza vitabu vya kufundishia na kujifunzia katika vituo vya MUKEJA na kuchapisho ya Mpango wa ndiyo naweza katika halmashauri 6 za majaribio katika kufundisha watu kusoma,kuandika na kuhesabu kwa njia ya TVna Radio

No comments:

Post a Comment