Wednesday, July 6, 2011

KERO KUBWA LA MLUNDIKANO WA TAKA KATIKA SOKO KUU LA MANISPAA YA SONGEA ULIYOSHUHUDIWA NA BLOG HII LEO

Huo ni mrundikano wa taka katika soko kuu la Manispaa ya Halmasuri ya Songea ambao unasababisha haruru mbaya kwa wafanya biashara katika soko hilo,pia kwa wanunuzi wanaopita katibu na juba lililosheheni taka bila kuzolewa ndani ya soko hilo.

No comments:

Post a Comment