Saturday, July 16, 2011

JUMAMOSI YA LEO MJINI SONGEA HALI YA UMEME IMERUDIA HALI YAKE YA KAWAIDA YA MGAO , NA USAFI NAO BADO NI TATIZO HASA UZOAJIWA WATAKA

Hiiyo ni hali halisi ya Blog hii ilivyo kuta uchafu ulivyo achwa katika guba hilo la kuhifadhia taka kwa muda kisha magari ya Halmashauri ufika na kuyazoa kwenda kuyatupa eneo maalumu na kuyachoma moto.
Hakika taka hizo ni karaha kwa wakazi wa eneo la taka hizo,baaya pombe,mashine za kukoboa mpunga na kukoboa mahindi na kusaga unga.ni kweli zinakera,zinatoa harufu mbaya na kali ambayo kiafya si nzuri kwa maisha ya binadamu.Uchafu kama huo usiyo zolewa kwa muda mrefu omeenea katika maguba yake katika halmashauri hii ya Songea.

No comments:

Post a Comment