Tuesday, July 19, 2011

ELIMU HAINA MWISHO NI GAZETI LA KISOMO KANDA YA ZIWA MWANZA AMBALO HUSOMWA WANANCHI WOWOTE

Magazeti hayo ya kisomo ya Elimu Haina Mwisho Kanda ya ziwa Mwanza na TUJIFUNZE KANDA YA KUSINI songea ni mpango wa serikali wa kuchapisha kwa ajili ya wanajisomo wa kujiendeleza,wakati wakijifunza kuandika,kuhesabu na kusoma KKK lakini cha ajabu leo kuna baadhi ya watu wanabeza elimu ya watu wazima.
Cha kushukuru Serikali imeliona hilo imeanzisha upywa Kurugenzi yake na Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Elimu ya Watu Wazima na Nje ya Mfumo Rasmi Bwana Salum Mnjagila ambaye ni mwana - kisomo halisi,akiwezeshwa hadhi ya Elimu ya Watu Wazima  na Nje ya Mfumo Rasmi itarudi kupitia mipango ya MUKEJA,VICOBA NA MEMKWA

No comments:

Post a Comment