Wednesday, February 23, 2011

ZAIDI YA WANAFUNZO 5,000 WILAYANI KILWA WALIOMALIZA ELIMU YA MSINGI MWAKA JANA HAWAJUI KUSOMA

Kufuatia kikao cha tathimini ya elimu wilayani Kilwa Mkoa wa Lindi kimebaini kuwa wanafunzi zaidi ya 5,000 wilayani humo waliomaliza elimu ya msingi mwaka 2010 hawajui kusoma,kuandika na kuhesabu,jambo ambalo liniongeza idadi ya watu wazima kuto jua kusoma.

Uongozi wa elilmu wa wilaya hiyo umebaini kuwa tatizo lililo fanya matokeo hayo ni wazazi kutokuwa na mwamko wa elimu,watoto wanajishughulisha na biashara ndogo ndogo,uvuvi na uchungaji,ambao ni utoro uliokithiri.

No comments:

Post a Comment