Friday, February 18, 2011

kutana na Machifu wa Kingoni Nduna

Viongozi wa Kingoni wakiwa na  watawala wa Kijerumani,Nduna Mbano Songea hakupenda utawala wa kijerumani kwa kuwa  na utawala wa kimabavu.kwa kukataa  utawala huo.Machifu 66 waliuawa na kuzikwa katika kaburi moja.Isipokuwa Nduna Mbano Songea alizikwa katika kaburi la peke yake.

No comments:

Post a Comment