Friday, February 18, 2011

KUPATA MAVUNO MENGI LAZIMA KUTUNZA SHAMBA LEO NAMKUTA MKULIMA WA MAHINDI SONGEA

Kwa mujibu wa wataalamu wa kilimo Mkoani hapa wanashauri mkulima kupalilia shamba lake kuondoa magugu,kuweka mbolea ya kukuzia ili kupata mavuno mengi na ya uhakika.

Mkoa huu unachukula cha kutosha ghala yataifa la kuhifadhi chakula Ruhuwiko kuna mahindi mengi ambayo sasa yanapelekwa Dar es salaam.Ila wafanya biashara wenye malori makubwa wa Mjini Songea hawakupata tenda ya kupeleka mahindi hayo Dar es salaam.isipokuwa watu wa Dar es salaam.Je wakati wa kuyasomba mahindi kipindi cha mavuno mwaka huu watakuja wao kuyasomba?.

Je hiyo tenda imetolewa kwa njia zipi? wasafirishaji mjini hapa wanakilio kikubwa kwa kutotendewa haki kama wafanya biashara wa Mkoa huu,hawapati jibu .

No comments:

Post a Comment