Monday, February 21, 2011

MVUA YA UPEPO YALETA MADHARA OFISI YA TUJIFUNZE SONGEA MJINI JANA

 Hayo ndiyo madhara ya mvua ya upepo katika Manispaa ya Songea jana,nyumba nyingi zimeezuliwa,nyingine zimeanguka,madish ya TV yamerushwa mbali,nguzo za simu na umeme zimeangushwa
Wafanya kazi wa ofisi ya TUJIFUNZE wameikata miti iliyo  angukia paa la ofisi na uliyoangukia choo cha TUJIFUNZE Kusini baada ya kuangushwa na upepo mkali uliyoandamana na mvua katika Manispaa ya Songea jana.

No comments:

Post a Comment