Monday, February 21, 2011

DIWANI APONGEDWA KWA USHINDI WAKE

Mwandishi wa habari mkongwe Bwana Thomas Lipuka kushoto na mwenye kiti wa Ruvuma Press Club Bwana Juma Nyimayo kulia wanampongea Diwani wa viti maalumu CCM  Kata ya Mahanje Madaba Songea Vijijini Mhe.Atonia Mselewa,kwa ushindi aliyoupata.

Aidha walimsifu aliposema kuhusu  masuala ya marumbano na madiwanai wa vyama vya upinzani ndini ya vikao hauna tija kwa kuwa wote wametumwa kuwa wawakilishi wa wananchi katika vikao hivyo,na siyo marumbano.

No comments:

Post a Comment