Wednesday, February 23, 2011

BREAKING NEWS UMOJA WA WAZEE TUNDURU WAIOMBA SERIKALI MIKOPO YA KUNUNULIA MATREKTA MADOGO ( POWER TILLER )


UMOJA wa Wazee na Wastaafu wa Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma (CHAWATU) waomba serikali iwapatie mikopo ili kuwa kwamua katika lindi la uaskini.

Wazee hao walimweleza Mkuu wa Wilaya hiyo Bw. Juma  Madaha kuwa wakipewa mikompo hiyo wanunua matrekta madogo (Power Tiller),kulima shamba la alizeti lenye ukubwa wa Hekta 50 pamoja na pembejeo za kilimo

No comments:

Post a Comment