Monday, February 21, 2011

PERAMIHO TRADE SCHOOL NI UKOMBOZI WA VIJANA

Trade school Peramiho ni ukombozi wa vijana wanaopitia katika chuo hicho kuhitimu mafunzo yao ya ushonaji wa nguo za akila aina,hasa wamebobea katika ushonaji wa suti.Wanakwenda kujiajiri wenyewe na wana soko sana hasa katka ushonaji wa suti.

Chuo hiki kipo Permiho kinatoa mafunzo katika fani za Ushonaji wa nguo, seremala,uashi,bomba na makenika.Sasa kinafundisha na masomo ya ziada ya hisabati,kiingereza na kiswahili na wanafanya mitihani ya VETA.

No comments:

Post a Comment