Tuesday, February 22, 2011

MAFUNZO YA COMPUTER NA ADA YAKE NI POA FIKA UTONE OK . SONGEA MJINI

 Kutana na wanafunzi wanafunzi ambao wako darasani kwa mafunzo ya vitendo,mafunzo hayo yapo katika hatua kadhaa ambayo yameainishwa katika jedwali  hapo chini na gharama zake kwa kila Program.
 Sayansi na teknolojia ya sasa ni muhimu kujua matumizi ya Computer hatau kwa hatua,Utanadawazi maana yake ni kujua matumizi ya Computer,haijalishi umri wa mtu,wala elimu ya mtu,kwa bahati nzuri au mbaya msomi wa elimu ya kuu kabisa lakini matumizi ya computer yakampitia kisogoni sasa wakati ni huu.
Vijana nao hawapo mbali kwa kujifunza Computer,hawa ni baadhi ya wanafunzi wa chuo hiki mashuhuri sana hapa Manispaa ya Songea.Isitoshe Mkurugenzi wa Chuo hiki ni mtaalamu wa Instolation of Computer and Ant Vuirus kwnye computer Mr.Mpele Soka.

EASY  TECH.COMPUTER TRAINING CENTRE

Chuo cha Easy Tech.Computer Training Centre ambacho kipo ndani ya manispaa ya songea  kinatoa mafunzo ya computer kwa kozi  zifuatazo:

No:
kozi
muda
Ada
1.
CERTIFICATE IN OFFICE APPLICATIONS
15 WEEKS
180,000/=
2.
CERTIFICATE  IN COMPUTER REPAIR  AND MAINTENANCE
2MONTHS
200,000/=
3.
CERTIFICATE IN ACCOUNTING PACKAGE-  (PASTEL,TALLY OR M.Y.O.B. AND QUICK BOOK).
@ 3 WEEKS
80,000/=

 Ndani ya  hiyo kozi namba 1  kuna program zifuatazo
ü      Introduction to computer kwa Tshs.  20,000/-

ü      Ms. word  kwa  T.shs 25,000/=

ü      Ms Excel   kwa Tshs.25,000/=

ü      .Ms PowerPoint kwa  T.shs 25,000/=

ü       Ms. Access  kwa T.shs. 25,000/=

ü      .MS.Publisher  kwa T.shs. 30,000/=

ü      .Internet and Email  kwa 30,000/-                                   
Pia tunatoa fomu  ya kujiunga na chuo kwa shilingi 2000/= tu

Chuo kinawakufunzi waliobobea kwenye fani ya computer, kinatoa ofa  kwa atakaye weza kulipia programme 6 kati 7 za computer kwa mara moja atapata kusoma programme ya  kwanza bure ( introduction to computer)  wahi sasa nafasi ni chache  bei zetu ninafuu sana.



Malengo  yetu  ni kuhakikisha mtu anaelewa wala siyo kumaliza programme chuo kimenuia  kwa dhati kabisa kutoa  elimu bora ili kuendana na ulimwengu wa sasa wa teknologia ya mawasiliano ya computer.  (IT)



Chuo kinapatikana katika jengo la ok hotel  mkabala na  wa Krister Park (fast Food )  songea mjini. Karibu na kanisa la Lutherani (KKKT usharika wa kanda ya kusini)

watu wa rika zote mnakaribishwa njooni mjionee tofauti kwa kupata elimu bora inayokidhi matakwa yako kwa bei nafuu sana. na muda mfupi.

Kwa Mawasiliono Zaidi Piga Simu : 025 2602428, AU SIMU YA KIGANJANI:(0713/0752/0787) - 440996


N.B :_-Nimetuma  picha tofauti ili  uchague zipi zinafaa

No comments:

Post a Comment