Saturday, February 19, 2011

DEREVA HANA UJANJA KWA TRAFIC BARABARANI

Maadili ya kazi yanatoautiana kwa kila sekta,maadili ya dereve yafanani na maadili ya karani,au maadili ya Trafic barabarani hayafanani na maadili ya mwandishi wa habari,ingawa wote wanaajira.Kwa hiyo hakuna haja ya kuponda maadili ya kazi ya mtu mwingine.cha msingi ni kufanya kazi yako kwa kuheshimu maadili na miiko ya kazi yako.

Trafic lazima akusimamishe kuhakikisha unafuata sheria na kanuni za usalama barabarani? umekamilika katika kukiendesha chombo cha moto?.kama sivyo atakutia hatiani ,kwakuwa katimiza wajibu wake,asilaumiwe.Barabara na usalama wa raia ni jambo la msingi kwa waendesha vyombo vya moto.

No comments:

Post a Comment