Saturday, February 19, 2011

NAULI MPYA ZA MABASI JIJINI MWANZA ZINAWEZA KUANZA KUTUMIKA KUANZIA KESHO

Baada ya madereva  Jijini Mwanza kugoma tarehe 16 mwezi huu,SUMATRA yapandisha nauli za mabasi ambazo zitaanza rasmi kuanza kazi kuanzia Jumatatu ya kesho.

No comments:

Post a Comment