Tuesday, February 22, 2011

BREAKINGNEWS WAHADZABE KUJENGEWA HOSPITALI IRAMBA SINGIDA

Shirika la Wamarekani limetoa mchango wa  shilingi milioni 25 kwa ajili ya kujenga hospitali kwa ajili ya kuwasaidia  kabila la Wahadzabe wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment