Saturday, February 19, 2011

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI IMEMTEUA BWANA FRIDOLIN BANZI KUWA MKUU WA KITUO CHA PRESS A MAGOGONI DAR ES SALAAM


Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imefanya Uteuzi wa Bw. Fridolin Banzi kuwa Mkuu wa Kituo cha Uchapaji Dar es Salaa, ‘Press A’
Kabla ya Uteuzi huo, Bw Banzi (Pichani) alikuwa Mkuu wa Kituo cha Nyanda za Juu Kusini- Mbeya, ambacho kinatoa huduma kwa mikoa ya Mbeya, Iringa na Rukwa.

Kituo cha Uchapaji Dar es Salaam ‘Press A’ ndicho Kituo kikuu cha vituo vyote vya uchapaji hapa nchini vinavyomilikiwa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, kilikuwa kikiongozwa na Bw Mwalimu Saleh, ambaye alistaafu Utumishi wa Umma mwaka uliopi


Mhariri: Tunakutakia mafanikio katika nafasi yako mpya.

No comments:

Post a Comment