Tuesday, February 22, 2011

VIJANA NA CHANGAMOTO ZA MAISHA SONGEA

Asiyefanya kazi na asile Imeandikwa kwenye vitabu vitakatifu,ili kutimiza usemi huo haijalishi mtu anafanya kazi gani,kamira yetu iliwakuta vijana hawa wako kazini wakipeleka mifuko ya mbolea ya kukuzia mahindi kwenye shamba la mteja wao.Katika Manispaa ya Songea hapo jana,

Vijana hao walipita jirani kabisa na nguzo ya simu ambayo ilipata msukosuko wa upepo mkali uliyoandamana na mvua.hapo  jana.

No comments:

Post a Comment