Monday, February 21, 2011

UTANDAWAZI NA MATUMIZI YA BLOG FACE BOOK KWA VIJANA WA LEO

Mhariri uzalishaji wa Magazeti ya HabariLeo Bwana Beda Msimbe ( likwangule entertainment ) mtumiaji mkubwa wa blog na amewafundisha wengi matumizi ya blog na face book.


Ulimwengu   wa vijina wa leo niwablog,vijana wengi hivi sasa wanatumia Blog, Face book, na mitanadao mingine kupeleka ujumbe na kufanya mawasiliano pembe zote za dunia.kupitia mtandao wa Internet.

Mhariri uzalishaji wa magazeti ya HabariLeo Bwana Beda Msimbe alisema  hayo siku ya mdahalo wa waandishi wa habari na wadau wa habari Mkoani Ruvuma hivi karibuni.Alisema wazazi kuwa na kompyuta ( computer au laptop ) kutamsaidia sana mtoto kuielewa na kuitumia vyema.Maana matumizi ya blog na Face book  yameongezeka na yana zidi kuongezeka kila kukicha.katika ulimwengu huu wa utanda wazi.

No comments:

Post a Comment