Sunday, February 20, 2011

TUNAKUOMBEA HERI ASKOFU MKUU WA JIMBO KUU LA SONGEA NORBERT WENDELIN MTEGA JUBILEI YA MIAKA 25 YA UCHUNGAJI

Jimbo kuu la Songea Askofu Mkuu wa Jimbo kuu la Songea Mhasamu Norbert Wendelin Mtega atadhisha Jubilei ya miaka 25 ya Uchungaji katika nafasi hiyo toka mwaka 1986  hadi mwaka 2011.

Waumini wote wa Jimbo Kuu la Songea na wengine popote pale walipo, tarehe 9/6/2011 watakuwa na adhimisho la kumshukuru Mungu:Jubilei ya miaka 25 ya utumishi wa Askofu Mkuu Norbert Mtega.Ili kufanikisha shughuli hiyo  kubwa muhimu ya kiimani  ya Uchungaji  kwa yeyote atakaye guswa na tukio hilo atapeleka mchango wake namba ya simu.0712 920955.kwa  Pd.Camillus Haule Naibu wa Askofu Mkuu.Kutoa ni moyo nawala siyo utajiri.

Ee nafsi yangu  umuhimidi bwana…wala usisahau fadhili zake. Zab.103: 1-2

No comments:

Post a Comment