Wednesday, February 23, 2011

MUZIKI MZURI NI MUHIMU KUWA NA ALA ZA MUZIKI ONA KWAYA YETU

 Pamoja na kuwa na kinanda pia waumini wa kigango cha matarawe kimeweza kujichangisha kwa ajili ya ujenzi wa kanisa lao,na hatimaye sasa wanaendelea kwa ajili ya kupiga lipu.
 Hicho ni kikundi cha kwaya hiyo,wamevaa sare tofauti kidogo na zile za pinki ndiyo manjonjo hayo katika kufanya kwaya iwe ya kuvutia machoni kwa watu.Muziki sio uhuni alisema Hayati Remi Ongala.Maana unaliwaza,katika maombolezo,katika kumuomba mungu.na katika starehe mbalimbali.
Kwaya  ya Kigango cha Matarawe kimemudu kununua kinanda chake ili kiweze kukoleza harmony ya mziki wao.Ni nguvu za waumini wenyewe katika kufanya ibada iwe na uhai.

No comments:

Post a Comment