Saturday, March 5, 2011

WASANII NA VITUKO VYA WASANII HASA WA SARAKASI KATIKA MANISPAA YA DODOMA.


Vijana hawa wamekuwa vivutio kwa wakazi wa Manispaa ya Dodoma kwa mbwembwe zao wakiwa barabarani na gari lao la matangazo,hao wameva kitu kama viatu lakini vina vigurudumu ambavyo vinamfanya ateleze kama kwamba anakwenda kuanguka kumbeanateleza tu ila kwenye lami zaidi,wenzetu mchezo huo wanautumia kwenye theluji ( sliding ), pamoja na hao kuna wengine wanabaiskeli ambazo wanaziendesha kiufundi wa kiukweli,wanaweza kuruka na baiskeli hizo kwenye mitaro,Blog hii imeshuhudia vituko hivyo leo.

No comments:

Post a Comment