Tuesday, March 22, 2011

BREAKING NEWS WATU 9,079 WAHOFIWA KUFA NCHINI JAPAN

Vifo vya waliokufa nchini Japan kutokana na tetemeko la ardhi na kufuatiwa na sunami vimeongezeka  kufikia zaidi ya watu 9,079 hadi sasa.

No comments:

Post a Comment