Monday, March 7, 2011

MABANGO YA MATANGAZO YANACHANGIA KWA KIASI KIKUBWA MAPATO YA HALMASHAURI ZA JIJI,MANISPAA NA MIJI

Watu kadhaa wametoa maoni yao kuhusu tamko la serikali la kutaka kuondoa mabango kandokando ya baraba,kwa lengo la upanuzi wa barabara,na mabango mengine,katika Halmashuri za Jiji, Manispaa,na Miji kuwa ni zuri ,kwa maeneo ya barabara ambazo zinazotakiwa kupanuliwa au mabango ambayo ni machafu yaani hayana matunzo yabomolewe.

Bali mabango ambayo yapo matika maeneo ambayo hayahitaji kufanyiwa marekebisho yabakie,kwani yana ingiza mapato katika Halmashauri zetu nchini,pia yanasaidia kutangaza  biashara za watu,na watu wanarahisishiwa kujua vitu wanavyovitafuta kwa urahisi.

No comments:

Post a Comment