Wednesday, March 2, 2011

VIJANA NA HARAKATI ZA MAISHA MJINI MOROGORO,SASA WAMEAMUA KUJIAJIRI WENYEWE

Vijana hawa wanahekaheka ya kujikwamua kimaisha  wakiwa anapakua ndizi kutoka vijini Matombo na Mgeta baada ya kushushwa kwenye malori,kazi ni kazi mradi mkono uende kinywani.Vijana hawa wakipewa mikopo kupitia serikali zao za vijiji na mitaa wataleta maendeleo yao na ya taifa hili kwa ujumla.

No comments:

Post a Comment