Sunday, March 20, 2011

HABARI KWA UFUPI MAREKANI,UINGEREZA NA UFARANSA ZAINGILI VITA VYA LIBYA

Imeripotiwa kuwa Marekeni ,Uingereza na Ufaransa zimeingilia kati vita ndani ya Libya na Waziri mkuu wa Uingereza  David Cameron alithibitisha kuwepo kwa ndege za kivita za nchi yake.

No comments:

Post a Comment