Saturday, March 19, 2011

MAMBO HAYA JAMANI YANAPENDEZA MATUMIZI YA MITANDAO IANZE NGALI WADOGO KAMA HUYO HAPO

SARAH Joseph ni mwanafunzi wa darasa la sita Martin Luther  primary school Dodoma,Huyo mwanafunzi unaweza ukasema maneno yoyote kwa lugha ya kiswahili ama kiingereza na yeye akaandika kwenye computer,huwa akirudi nyumbani anatumia computer kwa mazoezi zaidi.


Inapendeza iwapo vijana wetu wananza mapema kutumia computer wakiwa nyumbani kwa msaada wetu wazazi kama tunazo,ili akifika elimu ya juu asiwe mgeni wa vitu hivyo.

No comments:

Post a Comment